Muffins za Ndizi (BANANA MUFFINS)

Mahitaji
2 1/4 cups unga wa ngano
1/2 teaspoon chumvi
1 tsp baking powder
1 tbs  magadi soda
1/2 teaspoon mdalasini
1/2 cup vegetable cooking oil
1/4 cup of applesauce
1 cups sukari
2 Mayai
3 Ndizi zilizoiva (peeled and mashed)
1 teaspoon vanilla
1/2 cup walnuts or pecans, chopped(option)

Jinsi ya kutengeneza
Kwenye bakuli kubwa changanya ndizi, mayai, vegetable oil na vanilla.
Kwnye bakuli nyingine changanya unga, chumvi, baking powder, magadi soda na mdalasini..

Chanaganya vitu vyote pamoja lakini hakikisha hukorogi sana.

Kama unaweka nuts basi changanya mwishoni

Paka chombo chako cha kuoka mafuta na uweke kama 2/3 full.

Weka kweny oven iliyopashwa moto kwa 350°F kwa  dakika 25-30 au hadi ziwe za brown  na ukiweka uma au toothpick inatoka safi .

Hii recipe inasema uoke muffins zako kwa dakika 25 hadi 30 lakini zangu ziliiva kwa dakika 20 tu hivyo angalia sana usije ukaziunguza..

*Ukipenda unawea kuweka katika chomboo cha kupikia mkate hii recipe ukawa mkate wa ndizi badala ya muffins za ndizi.
**Pia unaweza kutumia batter badala ya mafuta ya kupikia. 

Hii recipe ilikua adapted kutoka www.cook.com

Chakula cha watoto wasiopenda kula (Easy meal for a picky fussy eater)



Kama una mtoto asiyependa kula vyakula vyake labla hiki atapenda. Mwanangu anapenda kuona anakula kama mtu mzima lakini bado anasumbua sana kula

Kinachosaidia anapenda sea foods hivyo hata shrimps anakula kidogo.

Mac and cheese inaonekana ni winner kwa watoto wengi lakini huyu wangu hata hichi ni kazi kweli kumpa.
Hivyo nikiweka shrimps basi angalau atadokoa dokoa hapo na mboga za majani kidogo siku imepita.

Mahitaji
Pasta
cheese
Milk
Shrimps
Salt
Veggies

Ugali, mlenda and dagaa (Dry Salted Anchovies, Okra and Ugali)

Nani hatapenda kula ugali na mlenda jamani? Yes, jumatatu nilikula ugali, mlenda na dagaa (dry salted anchovies)


Mlenda 

Sijui hii inastahili kuitwa mlenda kwa wale watu wa Tabora na Mwanza lakini kwangu hii ilikua safi kabisa.

Mahitaji
Mchicha mchanga (Baby spinach)
Bamia
Chumvi
Accent flavor enhancer

Olive oil au veritable oil
Maji 

Directions
Osha bamia na mchicha, kisha zikatekate.
Katika safuria nzito weka kila kitu na funika. Pika katika moto wa medium lakini hakikisha unakoroga kila dakika kadhaa au ukiona mapovu yanapanda juu. Zikishaiva pondaponda jinsi unavyopenda.









Dry Salted Anchovies sauce
Dagaa (Dry salted Anchovies)
Kitunguu
Nyanya
Vegetable oil
Pilipili zilizokaushwa 

Jinsi ya kutengeneza
Ondoa vichwa 
Zioshe kwa maji ya moto halafu ziroweke kwenye maji kama saa moja hivi.
Zikaushe maji na uziwekek pembeni
Weka mafuta kwenye kikaangio chako yakishapata moto weka kitunguu.
Kaanga kikishakua cha brown weka nyanya, chumvi na pilipili
Kaanga mpaka nyanya imelainika 
Weka dagaa
Punguza moto na upike mpaka dagaa zimeiva. Kama nyanya yako ilikua kavu na haikuwa na maji mengi basi ongeza maji kidogo sana ya kutosha kuziivisha tu.


Ugali 
Maji
Unga wa mahindi (White Corn Meal)


Tanzania Potato Scones (sweet)

Ingredients:

1 cup sugar
1/2 cup vegetable oil
2 eggs
4 cups all purpose flour
2 1/2 teaspoons yeast
1/4 salt
2 cups water
1 cup mashed potato

Direction:

If you are using a bread machine follow your machine directions and set the dough cycle. .

If you are using a standing mixer then mix yeast with warm water and half a teaspoon of sugar. Let it sit for five minutes. Mix all the ingredients and mix until the dough is set.

Let the dough sit for 30 minutes or until it doubles. Mix it again and divide the dough into four equal parts. Again divide those parts into four equal parts to make even scones. Grease the baking pan with butter and put your scones 1/2 inches apart. Let it sit for 30 minutes again and turn the oven at 325 F degree. Bake it for 30 minutes.

Note you can egg wash your scones before you bake them for different textures.

Good luck, have fun and enjoy your scones

Kinywaji cha Maembe na Maziwa Ya Mgando (Mango Lassi)


Ingredients
Mango
Sugar
Butter Milk (full fat milk)
Sour cream (optional)
Cinnamon (optional)


Put  everything excerpt cinnamon in a blender and blend for 2 minutes then pour into individual glasses.

Sprinkle cinnamon on top (option)

The mango lassi can be kept refrigerated for up to 24 hours.

I didn't have any yogurt so I used homemade butter milk but it came out just as nice as the one I always have in Indian restaurants. 

The recipe adapted from simply recipes